NEW VACANCIES AT VARIOUS DISTRICT COUNCILS

 


Jiji la Dar es Salaam lipo kati ya Latitudo nyuzi 6 hadi 7 na Longitudo kati 39.45 kwa upande wa Mashariki na nyuzi 39 kwa upande wa Magharibi, Kusini mwa Ikweta na upande wa Magharibi, Kusini na Kaskazini. Jiji linapakana na Mkoa wa Pwani, upande wa Mashariki linapakana na Bahari ya Hindi, ambapo kuna ufukwe wenye urefu wa km. 124 unaoanzia Pemba Mnazi hadi Mbweni.

Jiji la Dar es Salaam lina eneo la ukubwa wa kilomita za Mraba zipatazo 1,800; kati ya hizo, kilomita za mraba 1,350 ni eneo la nchi kavu ikijumuisha visiwa vinane vilivyopo katika eneo la bahari ya Hindi na kilomita za mraba 450 ni eneo la maji ya bahari. Eneo la Jiji la Dar es Salaam ni sawa na asilimia 0.2 ya eneo la nchi nzima ambalo ni kilomita za mraba 881,289.


DOWNLOAD FULL PDF HAPA 





Post a Comment

0 Comments

Comments